JIFUNZENI TEKNOLOJIA MPYA KWA MASLAHI YA TAIFA: NDOMBA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi, Benedict Ndomba, amewataka wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo na mafunzo kazini katika fani ya TEHAMA, kutumia fursa hiyo kujikita zaidi katika kuzielewa teknolojia mpya zinazoibukia ili kuhakikisha zinaleta tija kwa Taifa.Ndomba ameyasema hayo leo jijini Dodoma, wakati akifungua programu ya mafunzo kwa vitendo (practical training) pamoja na mafunzo kazini (internship) kwa mwak...