e-G Yajinoa katika Uendeshaji wa Vituo vya Huduma kwa Wateja

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imefanya ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu kuhusu uendeshaji wa vituo vya huduma kwa wateja (Call Centers and Customer Support) katika Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Benki ya CRDB na Kampuni ya DStv. Ziara hiyo ya siku tatu ilifanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Julai 21 hadi 23, 2026. Akielezea lengo la ziara hiyo, Mkurugenzi wa Huduma za TEHAMA wa e-GA, Bw. Ricco Boma, alisema Mamlaka ipo kati...







