WANAWAKE WAHIMIZWA KUTUMIA TEHAMA KUKUZA UCHUMI

Wanawake nchini, wametakiwa kutumia vema Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), katika shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kuongeza vipato vyao na kukuza pato la taifa kwa ujumla.Wito huo umetolewa na watumishi wanawake wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), Machi 8, mwaka huu wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, ambapo kitaifa yalifanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Chinangali wilayani Chamwino jijini Dodoma.Meneja wa...