ONGEZENI UBUNIFU: NAIBU WAZIRI UTUMISHI AIELEKEZA e-GA

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amewata watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kufanya kazi kwa kibidii na kuongeza ubunifu katika eneo la TEHAMA, ili kuibua mifumo itakayoweza kutatua matatizo ya watanzania. Ridhiwani alisema hayo hivi karibuni, wakati wa kikao kazi cha watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao kilichofanyika katika ofisi za Mamlaka zilizopo mji wa S...