emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amewata watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kufanya kazi kwa kibidii na kuongeza ubunifu katika eneo la TEHAMA, ili kuibua mifumo itakayoweza kutatua matatizo ya watanzania. Ridhiwani alisema hayo hivi karibuni, wakati wa kikao kazi cha watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao kilichofanyika katika ofisi za Mamlaka zilizopo mji wa S...

Soma Zaidi

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Juma Mkomi, amewataka watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuzingatia maadili ya utumishi wa umma ili kulinda maslahi ya taifa. Mkomi alitoa kauli hiyo hivi karibuni, wakati wa kikao kazi cha watumishi wa e-GA na viongozi wa Wizara kilicholenga kujadili utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka. Alisema kuwa, watumishi wa e-GA wanashiriki katika kazi muhimu z...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene, ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa jitihada kubwa inazozifanya katika kukuza na kuimarisha Serikali Mtandao nchini. Mhe. Simbachawene alitoa pongezi hizo jana, alipofanya ziara ya kikazi katika Ofisi za Mamlaka ya Serikali Mtandao zilizopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma, kwa lengo la kukagua utekelezaji wa majukumu ya...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtanda (e-GA) inalenga kuimarisha zaidi uhusiano wake na Chuo Kikuu cha Mzumbe kupitia mkataba wa makubaliano (MOU) unaotarajiwa kufanyiwa maboresho hivi karibuni. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mkuu wa e-GA Eng. Benedict Ndomba, wakati wa kikao cha Pamoja kati ya e-GA na Chuo Kikuu cha Mzumbe kilichofanyika leo katika ofisi za e-GA jijini Dodoma, kwa ajili ya kujadili utekelezaji wa mkataba wa kwanza wa makubaliano (MOU)....

Soma Zaidi
Mpangilio