SIKU 365 ZA RAIS SAMIA MIFUMO YA TEHAMA YAIMARIKA

Serikali imesema imejipanga kuboresha mifumo ya TEHAMA Serikalini ili kuhakikisha uwajibikaji na utendaji kazi wa Serikali unaimarika na kuwa haitosita kumchukulia hatua mtu yeyote atakayetaka kuchezea mifumo hiyo.Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama wakati akielezea mafanikio ya mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan Machi 16, 2022 Jijini Dodoma.Waziri huyo amesema...







