emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Serikali imesema imejipanga kuboresha mifumo ya TEHAMA Serikalini ili kuhakikisha uwajibikaji na utendaji kazi wa Serikali unaimarika na kuwa haitosita kumchukulia hatua mtu yeyote atakayetaka kuchezea mifumo hiyo.Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama wakati akielezea mafanikio ya mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan Machi 16, 2022 Jijini Dodoma.Waziri huyo amesema...

Soma Zaidi

Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Hussein Katanga amefungua mafunzo ya kujenga uelewa kwa viongozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuhusu uchumi wa kidijitali. Mafunzo hayo yanafanyika kwenye ukumbi wa Marijani Hoteli iliyopo eneo la Pwani ya Kichangani, Zanzibar kwa muda wa siku nne kuanzia tarehe 8 Machi, 2022 hadi tarehe 11 Machi, 2022.Mheshimiwa...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema, ofisi yake kwa kushirikiana na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) imetekeleza maelekezo ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ya kusanifu Mfumo wa kielektroniki wa kupokea, kufuatilia na kushughulikia malalamiko (e-Mrejesho) ambao utatoa fursa kwa wananchi na wadau kuwasilisha malalamiko, maoni, mapendekezo, maulizo na pongezi Serikalini.Mhe. J...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama ameipongeza Mamlaka ya Serikali Matandao (eGA) kwa kutengeneza mfumo utakaowezesha mifumo mbalimbali ya Serikali kubadilishana taarifa, jambo hili ni hatua kubwa katika utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan la kuhakikisha mifumo ya TEHAMA ndani ya Serikali inawasiliana na kubadilishana taarifa wakat...

Soma Zaidi

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Dkt.Francis Michael amewataka maafisa Tehama katika Taasisi za Umma nchini kuzingatia na kufuata kanuni,viwango na miongozo ya Serikali Mtandao katika utendaji kazi wao.Dkt.Francis ametoa kauli hiyo Novemba 30,2021 jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo ya wiki moja kwa maafisa TEHAMA wa Taasisi mbalimbali za umma kuhusu usimamizi wa usalama wa mifumo ya TEHAMA Serika...

Soma Zaidi
Mpangilio