emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama (Mb) ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao kwa kuziwezesha Taasisi za Umma kutumia Mifumo ya TEHAMA ambayo imesaidia kuboresha utendaji kazi ndani ya Taasisi hizo pamoja na utoaji wa huduma kwa wananchi.Waziri Mhagama aliyasema hayo hivi karibuni wakati wa uzinduzi rasmi wa Mfumo wa Usimamizi wa Mfuko wa Uwekezaji wa Pamoja - (Collective Investmen...

Soma Zaidi

Kifungu cha 48 (2) cha Sheria ya Serikali Mtandao Na. 10 ya Mwaka 2019, kinaitaka Mamlaka ya Serikali Mtandao kuanzisha na kuendesha Mfumo wa unaowezesha Mifumo ya TEHAMA Serikalini kuwasiliana na kubadilishana taarifa.Katika utekelezaji wa matakwa ya kisheria, e-GA imesanifu, kutengeneza na kusimamia mfumo unaowezesha Mifumo ya serikali kuwasiliana na kubadilishana taarifa unaojulikana kama Government Enterprise Service Bus (GovESB). Mkurugenzi...

Soma Zaidi

Serikali imetengeneza Sheria, Kanuni, Miongozo na Viwango vya utekelezaji wa Jitihada za Serikali Mtandao ili kuhakikisha kuwa, Taasisi za Umma zinatekeleza jitihada hizo katika viwango na ubora unaotakiwa.Miongozo hiyo hutoa maelekezo kwa Taasisi za Umma juu ya taratibu sahihi zinazotakiwa kufuatwa katika utekelezaji wa juhudi mbalimbali zinazohusu matumizi ya TEHAMA katika Taasisi za Umma. Meneja Udhibiti wa Viwango vya TEHAMA Bi. Sultana Seiff...

Soma Zaidi

Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetengeneza Mfumo wa kidigitali ujulikanao kama e-Mrejesho, unaomuwezesha mwananchi kuwasilisha malalamiko, kero, maoni, mapendekezo, au maulizo moja kwa moja kwenye Taasisi /Wizara husika sambamba na kufuatilia utekelezaji wake.Mfumo huo wa kidigitali una lengo la kumsaidia mwananchi kupunguza gharama pamoja na kuokoa muda wa kutembea umb...

Soma Zaidi

Serikali inaweka Miundombinu salama ya TEHAMA inayoziwezesha Taasisi za Umma kushirikiana katika matumizi ya rasilimali za TEHAMA ili kuondoa urudufu, kupunguza gharama na kuongeza ubora wa huduma zinazotolewa kwa umma, pamoja na kuhakikisha usalama wa mawasiliano.Miundombinu iliyopo ni pamoja na Mkongo wa Taifa (NICTBB), Mtandao wa Serikali (GovNet), Vituo vya Kitaifa vya Data na Masafa ya Intaneti. Hayo yameelezwa na Meneja Usimamizi wa Mtandao...

Soma Zaidi
Mpangilio