emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba ameziagiza Mamlaka za Maji nchini kufanya kazi kwa kushirikianana Wizara, Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Wadau wengine wanaotumia mfumo wa pamoja wa Ankara za Maji nchini ili kuongeza ufanisi, mapato na kuzuia mianya ya rushwa katika utendaji kazi.Agizo hilo limetolewa mjini Morogoro wakati wa ufungaji wa mafunzo ya siku 10 ya kuwajengea uwezo wa namna ya kutumia mfumo huo wa p...

Soma Zaidi

Mamlaka za Maji nchini zimetakiwa kutumia mfumo mpya wa pamoja wa utoaji Ankara za Maji (Maji intergrated and unified Billing System) ili kurahisisha uendeshaji, usimamizi na kuongeza mapato ya Mamlaka za Maji.Hayo, yamesemwa na Mhandisi, Jeremia Fumbe kutoka Wizara ya Maji Idara ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji, wakati wa mafunzo ya namna ya kuutumia mfumo huo kwa Maafisa mbalimbali kutoka Mamlaka...

Soma Zaidi

Taasisi za Umma nchini wametakiwa kutumia wataalamu wa ndani katika kubuni, kusanifu na kutengeneza mifumo itakayorahisiha utendaji kazi na utoaji huduma kwa umma ili kuleta manufaa kwa Taifa.Hayo, yameelezwa na Mhandisi, Jeremia Fumbe kutoka Wizara ya Maji Idara ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji, wakati wa mafunzo ya namna ya kuutumia mfumo mpya wa pamoja wa utoaji Ankara za Maji (Maji intergrated a...

Soma Zaidi

Taasisi za umma nchini zimetakiwa kuzingatia kikamilifu Sheria ya Serikali Mtandao ya mwaka 2019 na Kanuni zake za mwaka 2020 katika kutekeleza jitihada za Serikali Mtandao mahala pa kazi. Hayo, yameelezwa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimaliwatu Serikalini, ACP Ibrahim Mahumi kwa niaba ya Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Dkt. Laurean Ndumbaro wakati akifungua mafunzo kwa Wakuu wa Id...

Soma Zaidi
Mpangilio