Tunaishukuru Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) kwa kubuni,kusanifu na kuujenga mfumo huu

Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba ameziagiza Mamlaka za Maji nchini kufanya kazi kwa kushirikianana Wizara, Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Wadau wengine wanaotumia mfumo wa pamoja wa Ankara za Maji nchini ili kuongeza ufanisi, mapato na kuzuia mianya ya rushwa katika utendaji kazi.Agizo hilo limetolewa mjini Morogoro wakati wa ufungaji wa mafunzo ya siku 10 ya kuwajengea uwezo wa namna ya kutumia mfumo huo wa p...







