emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora Mhe.Jenista Mhagama (Mb), ameitaka Bodi ya Wakurungezi ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi, sambamba na kuwajengea uelewa wadau mbalimbali kuhusu dhana na umuhimu wa Serikali Mtandao kwa ustawi wa Taifa.Waziri Mhagama ameyasema hayo Novemba 25 mwaka huu wakati akizindiua Bodi hiyo katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi za e-GA Kanda y...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imetaja mikakati mbalimbali iliyojiwekea ili kujenga Serikali ya kidijitali kwa kuhahikisha kuwa, Taasisi za Umma zinatoa huduma kwa wananchi kwa njia ya dijitali.Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na Meneja wa Usimamizi wa Uzingatiaji wa Viwango vya Serikali Mtandao wa Mamlaka Bi. Sultana Seiff, wakati akiwasilisha mada kuhusu Utoaji wa Huduma kwa Umma Kidijitali bila Kumuacha Mtu Nyuma (‘leaving no one behind...

Soma Zaidi

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius John Ndejembi ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) kwa kubuni, kusanifu na kutengeneza mifumo inayosaidia taasisi za umma kutekeleza majukumu yake kwa urahisi na ufanisi zaidi.Mhe. Ndejembi ametoa pongezi hizo wakati wa hafla ya Ufunguzi wa mauzo ya Vipande vya faida fund na uzinduzi wa Mfumo wa Kielektroni wa Uendeshaji wa mfuko huo iliyo...

Soma Zaidi

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Kundo A. Mathew (Mb) ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) kwa kazi nzuri ya kuendelea kusimamia na kuhakikisha kunakuwa na matumizi sahahi na salama ya TEHAMA ndani ya taasisi zote za umma.Hayo aliyasema wakati wa Kongamano la Miaka 60 ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam na miaka 10 ya Ndaki ya TEHAMA (CoICT) iliyofanyika Septemba 23, 2022 katika viwanja vya ndaki hiyo Kijitony...

Soma Zaidi

Wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo wameaswa kufanya utafiti na kuwa wabunifu katika masuala ya Serikali Mtandao ili kupata mifumo ambayo ni suluhisho la changamoto zilizopo katika jamii.Kauli hiyo imetolewa Septemba 12, 2022 jijini Dodoma wakati Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi alipokuwa akifunga programu ya nne ya mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi wa elimu ya juu k...

Soma Zaidi
Mpangilio