emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh. Jenista Mhagama, ameitaka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuwa kioo na kitovu cha mifumo ya TEHAMA nchini.Mh. Jenista ametoa kauli hiyo leo katika ofisi za Bunge jijini Dodoma, mara baada ya Mkurugenzi Mkuu wa e-GA Mhandisi Benedict Ndomba kuwasilisha mada kuhusu Usalama wa Serikali Mtandao kwenye Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, iliyolenga kuwajengea uwezo v...

Soma Zaidi

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa (USEMI) imeipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) kwa kuendelea kusimamia na kubuni mifumo tumizi ya TEHAMA ambayo inarahisisha utendaji kazi wa Serikali katika utoaji wa huduma bora kwa wananchi.Pongezi hizo zimetolewa leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, mara baada ya Mkurugenzi Mkuu wa e-GA Mhandisi Benedict Ndomba kuwasilisha mada kuhusu Usalama wa Serikali Mtandao mbele ya kam...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zimeahidi kuendeleza ushirikiano katika masuala ya utafiti na ubunifu katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa vijana wanaosoma fani hiyo ili kuwa na wataalamu wa ndani waliobobea katika TEHAMA.Hayo, yamesemwa Agosti 26, 2022 wakati Wajumbe wa Bodi na Menejimenti ya TCRA ilipofanya ziara katika Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama amewataka wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo kutumia fursa waliyoipata vizuri kwa kuwa wabunifu, waadilifu na wazalendo kwa kubuni mifumo ya kimkakati itakayosaidia Serikali kutatua changamoto mbalimbali katika jamii.Mhe. Waziri amesema hayo tarehe Agosti 10, 2022 wakati alipotembelea Ofisi za Mamlaka ya Serikali Mtandao katika kituo cha Utafi...

Soma Zaidi

Meneja wa Kitengo cha Huduma za Sheria wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) ACP. Raphael Rutaihwa amehimiza Vitengo vya TEHAMA Serikalini kufuata Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao ili kujenga mifumo bora na yenye tija.ACP. Rutaihwa amesema hayo wakati akitoa elimu kwa umma kuhusu Sheria ya Serikali Mtandao namba 10 ya mwaka 2019 na kanuni zake.“Ni vyema kila taasisi ya umma kuhakikisha inafuata Sheria, Kanuni, Viwango na Mio...

Soma Zaidi
Mpangilio