emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mfumo wa e-board umerahisisha na kuwezesha uratibu wa shughuli zote za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika Halmashauri na Taasisi za Umma.Mfumo huu wa kidigitali unawezesha sekretarieti kuandaa yatokanayo kwenye kikao, wajumbe kupiga kura na kuwawezesha wajumbe wa menejimenti kutengeneza ripoti za utendaji kazi katika vipindi mbalimbali vya mwaka.Meneja wa Kituo cha Utafiti na Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eG...

Soma Zaidi

Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi zinazopiga hatua kubwa katika matumizi ya TEHAMA kwa kushika nafasi ya 26 kidunia na ya pili barani Afrika baada ya Mauritius.Hayo yamebainishwa kwenye utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia (WB) kuhusu ukomavu wa matumizi ya Teknolojia duniani katika utoaji wa huduma za serikali na ushirikishwaji wa wananchi (GovTech Maturity Index) Ripoti hiyo ambayo inatokana na utafiti uliofanyika mwaka 2022 katika nchi...

Soma Zaidi

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Dkt. Mussa Kissaka akipokea taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ya ukaguzi wa taarifa za fedha kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ya Mamlaka ya Serikali Mtandao kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu Eng. Benedict Ndomba ambapo Mamlaka imepata hati safi. Makabidhiano hayo yamefanyika leo katika Ofisi za e-GA jijini Dar es Salaam, wakati wa kikao cha Bodi.

Soma Zaidi

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa bunifu mbalimbali za Mifumo ya TEHAMA inayorahisisha utendaji kazi na utoaji wa huduma kwa wananchi.Rosemary alitoa pongezi hizo hivi karibuni, wakati alipotembelea banda la maonesho la e-GA katika maadhimisho ya wiki ya kitaifa ya ubunifu na MAKISATU, yaliyofanyika April 24 hadi 28 mwaka huu katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma."Taasisi yetu ya...

Soma Zaidi

Mwenyekiti wa Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani Bw. Suleiman Zalala ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) kwa huduma jumuishi za Utekelezaji wa Jitihada za Serikali Mtandao kwa watu wenye ulemavuMwenyekiti ametoa pongezi hizo wakati wa kilele cha kikao kazi cha tatu (3) cha Serikali Mtandao kilichofanyika hivi karibuni katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Arusha (AICC) jijini Arusha.Bw. Zalala ameishu...

Soma Zaidi
Mpangilio