emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mfumo wa Ofisi Mtandao (e-office) umetengenezwa ili kuwezesha na kurahisisha shughuli za utawala za kila siku ndani ya Taasisi za Serikali. Shughuli hizo zinahusu mzunguko wa mafaili na nyaraka ndani ya Taasisi za Umma.Akieuelezea Mfumo huo Afisa TEHAMA wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw. Joseph Kimario alisema kuwa, Mfumo huu umekuwa ukifanyiwa maboresho madogo madogo ili kuuongezea ufanisi katika utendaji wake kuanzia toleo la kwanza na s...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) itaendele imeweka mikakati madhubuti ya utekelezaji wa jitihada za Serikali Mtandao itakayosaidia kuimarisha na kuijenga serikali kidijitali. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), Mhandisi Benedict Ndomba wakati alipofanya mkutano na waandishi wa habari, kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka. “Katika kipindi cha miaka 10 ijayo, e-GA itaan...

Soma Zaidi

Meneja wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Bw. Erick Kalembo, amewapongeza wataalamu waliotengeneza Mfumo Shirikishi wa Kusimamia Shughuli na Rasilimali za Taasisi (ERMS) kwani umerahisisha utendaji kazi wa idara na vitengo mbalimbali vya Taasisi za Umma katika shughuli za kiutendaji za kila siku. Bw. Kalembo ametoa pongezi hizo, wakati wa mahojiano maalum na mwandishi wetu kuhusu mafanikio ya Mfumo huo kwenye sekta ya...

Soma Zaidi

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb) amezitaka Taasisi za Umma kushirikiana na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) katika kutengeneza Mifumo ya TEHAMA itakayorahisisha utoaji wa huduma bora kwa Wananchi.Ndejembi alisema hayo jana, wakati alipofanya ziara ya kikazi ya siku moja kukagua utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya Mamlaka, katika Ofisi za e-GA Kanda ya Nyanda za Juu Kusin...

Soma Zaidi

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb), ameitaka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuendelea kufanya utafiti na ubunifu wa Mifumo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuibua Mifumo itakayosaidia kuimarisha sekta ya viwanda, biashara na uwekezaji ili kuleta maendeleo kwa taifa.Mhe. Ndejembi ametoa wito huo wakati akifungua kikao kazi cha tatu cha Serikali Mtandao ki...

Soma Zaidi
Mpangilio