Serikali yahimizwa kuwa na Mfumo wa pamoja

Naibu waziri, ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius John Ndejembi amesema wakati umefika kwa serikali kuwa na mfumo wa pamoja utakaojumuisha huduma zote badala ya kila taasisi ya umma kuwa na mfumo wake ndani ya serikali moja.Wito huo ameutoa Desemba 31, 2020 wakati alipotembelea Ofisi za Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) zilizopo mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma kwa lengo la kujitambulisha na kufahamu...