emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetengeneza Mfumo wa kidigitali ujulikanao kama e-Mrejesho, unaomuwezesha mwananchi kuwasilisha malalamiko, kero, maoni, mapendekezo, au maulizo moja kwa moja kwenye Taasisi /Wizara husika sambamba na kufuatilia utekelezaji wake.Mfumo huo wa kidigitali una lengo la kumsaidia mwananchi kupunguza gharama pamoja na kuokoa muda wa kutembea umb...

Soma Zaidi

Serikali inaweka Miundombinu salama ya TEHAMA inayoziwezesha Taasisi za Umma kushirikiana katika matumizi ya rasilimali za TEHAMA ili kuondoa urudufu, kupunguza gharama na kuongeza ubora wa huduma zinazotolewa kwa umma, pamoja na kuhakikisha usalama wa mawasiliano.Miundombinu iliyopo ni pamoja na Mkongo wa Taifa (NICTBB), Mtandao wa Serikali (GovNet), Vituo vya Kitaifa vya Data na Masafa ya Intaneti. Hayo yameelezwa na Meneja Usimamizi wa Mtandao...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao kwa kushirikiana na Wizara ya Maji imesanifu na kutengeneza Mfumo wa Pamoja wa Utoaji Ankara za Maji (Maji Intergrated and Unified Billing System-MAJIIS) kwa lengo la kurahisisha uendeshaji, usimamizi na udhibiti wa mapato ya Mamlaka za Maji na Bodi za maji za Mabonde Tanzania.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao, Mhandisi. Benedict Ndomba amesema kuwa, awali taasisi nyingi za maji hazikuwa na mifumo inayorah...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora Mhe.Jenista Mhagama (Mb), ameitaka Bodi ya Wakurungezi ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi, sambamba na kuwajengea uelewa wadau mbalimbali kuhusu dhana na umuhimu wa Serikali Mtandao kwa ustawi wa Taifa.Waziri Mhagama ameyasema hayo Novemba 25 mwaka huu wakati akizindiua Bodi hiyo katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi za e-GA Kanda y...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imetaja mikakati mbalimbali iliyojiwekea ili kujenga Serikali ya kidijitali kwa kuhahikisha kuwa, Taasisi za Umma zinatoa huduma kwa wananchi kwa njia ya dijitali.Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na Meneja wa Usimamizi wa Uzingatiaji wa Viwango vya Serikali Mtandao wa Mamlaka Bi. Sultana Seiff, wakati akiwasilisha mada kuhusu Utoaji wa Huduma kwa Umma Kidijitali bila Kumuacha Mtu Nyuma (‘leaving no one behind...

Soma Zaidi
Mpangilio