MAAFISA TEHAMA SERIKALINI WATAKIWA KUZINGATIA KANUNI,VIWANGO NA MIONGOZO YA SERIKALI MTANDAO

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Dkt.Francis Michael amewataka maafisa Tehama katika Taasisi za Umma nchini kuzingatia na kufuata kanuni,viwango na miongozo ya Serikali Mtandao katika utendaji kazi wao.Dkt.Francis ametoa kauli hiyo Novemba 30,2021 jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo ya wiki moja kwa maafisa TEHAMA wa Taasisi mbalimbali za umma kuhusu usimamizi wa usalama wa mifumo ya TEHAMA Serika...