emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Dkt.Francis Michael amewataka maafisa Tehama katika Taasisi za Umma nchini kuzingatia na kufuata kanuni,viwango na miongozo ya Serikali Mtandao katika utendaji kazi wao.Dkt.Francis ametoa kauli hiyo Novemba 30,2021 jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo ya wiki moja kwa maafisa TEHAMA wa Taasisi mbalimbali za umma kuhusu usimamizi wa usalama wa mifumo ya TEHAMA Serika...

Soma Zaidi

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Abdallah Chaurembo ameipongeza Serikali kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) kwa kubuni mifumo inayotatua kero za wananchi wakati wa kutoa huduma kwenye taasisi za umma na kuwapa fursa ya kujibiwa kero zao hapo kwa papo.Mhe. Chaurembo ameyasema hayo hivi karibu katika kikao kazi cha Kamati yake na Uongozi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na...

Soma Zaidi

Mahakama ya Tanzania imejipanga kuanza rasmi matumizi ya Ofisi Mtandao (e-Office) kwa lengo la kurahisisha utendaji kazi na kuhakikisha kuwa ndoto ya kuwa Mahakama Mtandao (e-Judiciary) inatimia. Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel Katika kikao chake cha kwanza na Menejimenti ya Mahakama kilichofanyika Agosti 23, 2021. Kikao hiki ni cha kwanza na Menejimenti baada ya kuteuliwa na kuapishwa na Rais...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Mohamed Mchengerwa amezindua mfumo wa kielekroni unaoitwa "Sema na Waziri” Mfumo huu ni maalumu kwa ajili ya kumuwezesha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kupokea malalamiko, mapendekezo, pongezi au maulizo ya watumishi na wananchi mahali popote na kwa wakati wowote. Akizindua mfumo huo Juni 28, 2021 katika ukumbi wa mik...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na utawala Bora Mhe. Mohamed O. Mchengerwa (mb) amezitaka taasisi za umma kuhakikisha kuwa watumishi wa umma walioajiriwa na kuaminiwa na Serikali wanasimamia utekelezaji wa Serikali Mtandao kwa kuzingatia Sheria na Kanuni za Serikali Mtandao zilizopo ili Serikali ipate tija na ufanisi unaotarajiwa ikiwemo kuongeza usalama wa mifumo na taarifa zilizomo.Hayo aliyasema leo wakati wa ziar...

Soma Zaidi
Mpangilio