Mifumo ya TEHAMA Kuinua Wananchi

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius John Ndejembi ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) kwa kubuni, kusanifu na kutengeneza mifumo inayosaidia taasisi za umma kutekeleza majukumu yake kwa urahisi na ufanisi zaidi.Mhe. Ndejembi ametoa pongezi hizo wakati wa hafla ya Ufunguzi wa mauzo ya Vipande vya faida fund na uzinduzi wa Mfumo wa Kielektroni wa Uendeshaji wa mfuko huo iliyo...







