eGA, TCRA Kuendeleza Ushirikiano katika TEHAMA

Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zimeahidi kuendeleza ushirikiano katika masuala ya utafiti na ubunifu katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa vijana wanaosoma fani hiyo ili kuwa na wataalamu wa ndani waliobobea katika TEHAMA.Hayo, yamesemwa Agosti 26, 2022 wakati Wajumbe wa Bodi na Menejimenti ya TCRA ilipofanya ziara katika Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (...







