HONGERA e-GA KWA USIMAMIZI MADHUBUTI WA MATUMIZI YA TEHEMA SERIKALINI

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Kundo A. Mathew (Mb) ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) kwa kazi nzuri ya kuendelea kusimamia na kuhakikisha kunakuwa na matumizi sahahi na salama ya TEHAMA ndani ya taasisi zote za umma.Hayo aliyasema wakati wa Kongamano la Miaka 60 ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam na miaka 10 ya Ndaki ya TEHAMA (CoICT) iliyofanyika Septemba 23, 2022 katika viwanja vya ndaki hiyo Kijitony...







