emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Kundo A. Mathew (Mb) ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) kwa kazi nzuri ya kuendelea kusimamia na kuhakikisha kunakuwa na matumizi sahahi na salama ya TEHAMA ndani ya taasisi zote za umma.Hayo aliyasema wakati wa Kongamano la Miaka 60 ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam na miaka 10 ya Ndaki ya TEHAMA (CoICT) iliyofanyika Septemba 23, 2022 katika viwanja vya ndaki hiyo Kijitony...

Soma Zaidi

Wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo wameaswa kufanya utafiti na kuwa wabunifu katika masuala ya Serikali Mtandao ili kupata mifumo ambayo ni suluhisho la changamoto zilizopo katika jamii.Kauli hiyo imetolewa Septemba 12, 2022 jijini Dodoma wakati Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi alipokuwa akifunga programu ya nne ya mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi wa elimu ya juu k...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh. Jenista Mhagama, ameitaka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuwa kioo na kitovu cha mifumo ya TEHAMA nchini.Mh. Jenista ametoa kauli hiyo leo katika ofisi za Bunge jijini Dodoma, mara baada ya Mkurugenzi Mkuu wa e-GA Mhandisi Benedict Ndomba kuwasilisha mada kuhusu Usalama wa Serikali Mtandao kwenye Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, iliyolenga kuwajengea uwezo v...

Soma Zaidi

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa (USEMI) imeipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) kwa kuendelea kusimamia na kubuni mifumo tumizi ya TEHAMA ambayo inarahisisha utendaji kazi wa Serikali katika utoaji wa huduma bora kwa wananchi.Pongezi hizo zimetolewa leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, mara baada ya Mkurugenzi Mkuu wa e-GA Mhandisi Benedict Ndomba kuwasilisha mada kuhusu Usalama wa Serikali Mtandao mbele ya kam...

Soma Zaidi

Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zimeahidi kuendeleza ushirikiano katika masuala ya utafiti na ubunifu katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa vijana wanaosoma fani hiyo ili kuwa na wataalamu wa ndani waliobobea katika TEHAMA.Hayo, yamesemwa Agosti 26, 2022 wakati Wajumbe wa Bodi na Menejimenti ya TCRA ilipofanya ziara katika Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (...

Soma Zaidi
Mpangilio