emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Huduma za TEHAMA kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) Eng. Benedict Ndomba amesema kuwa eGA imepewa mamlaka na wajibu wa kuratibu kusimamia na kukuza jitihada za Serikali Mtandao pamoja na kuhimiza utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Viwango na miongozo kuhusu Serikali Mtandao katika taasisi za umma.Kwa mantiki hiyo, Mamlaka ina wajibu wa kuhakikisha matumizi ya TEHAMA Serikalini yanakuwa bora ili kuboresha utoaji...

Soma Zaidi

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge, Tawala na Serikali za Mitaa Mhe. Mwanne Ismail Nchemba amesema Serikali inaitegemea Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA) kubuni zaidi njia za kurahishisha utendaji wa shughuli za Serikali kwa kutumia TEHAMA. Mhe. Nchemba amesema hayo wakati wa kikao cha pamoja kati ya Kamati ya Kudumu ya Bunge, Tawala na Serikali za Mitaa na Mejimenti ya Wakala kilichofanyika tarehe 30 Oktoba, 2019 Makao Makuu ya ofisi...

Soma Zaidi

Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Maria Sasabo amesema kuwa Wakala ya Serikali Mtandao (eGA) na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wamejipanga na wapo tayari kutoa huduma za elimu kuhusu kinga (assessment), namna ya kufanya tathmini, kupima uhimilivu wa mifumo, kupendekeza teknolojia sahihi pasipo na gharama kwa taasisiDkt. Maria Sasabo amesema hayo alipofungua mafunzo ya awali ya kusimamia usa...

Soma Zaidi
Mpangilio