Mhe. Athumani Kilundumya atembelea banda la maonesho la e-GA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Mhe. Athumani Kilundumya, ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kuimarisha ushirikiano na sekta ya kilimo katika kuleta mapinduzi ya kidijitali katika sekta hiyo. Mhe. Kilundumya ameyasema hayo leo wakati alipotembelea banda la e-GA katika maonesho ya Kilimo na Wafugaji “Nanenane” yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Alibainisha kuwa, Wizara ya Kilimo ime...