MAFUNZO KWA VIONGOZI WA SERIKALI KUHUSU UCHUMI WA KIDIJITALI

Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Hussein Katanga amefungua mafunzo ya kujenga uelewa kwa viongozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuhusu uchumi wa kidijitali. Mafunzo hayo yanafanyika kwenye ukumbi wa Marijani Hoteli iliyopo eneo la Pwani ya Kichangani, Zanzibar kwa muda wa siku nne kuanzia tarehe 8 Machi, 2022 hadi tarehe 11 Machi, 2022.Mheshimiwa...







