WAZIRI AWATAKA WANAFUNZI WANAOFANYA MAFUNZO KWA VITENDO KUWA WABUNIFU, WAADILIFU NA WAZALENDO

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama amewataka wanafunzi wanaofanya mafunzo kwa vitendo kutumia fursa waliyoipata vizuri kwa kuwa wabunifu, waadilifu na wazalendo kwa kubuni mifumo ya kimkakati itakayosaidia Serikali kutatua changamoto mbalimbali katika jamii.Mhe. Waziri amesema hayo tarehe Agosti 10, 2022 wakati alipotembelea Ofisi za Mamlaka ya Serikali Mtandao katika kituo cha Utafi...







