Kamati za Utekelezaji wa Serikali Mtandao Tanzania

Kamati za Utekelezaji wa Serikali Mtandao Tanzania zimeanzishwa ili kuisadia Mamlaka katika utekelezaji wa Sheria ya Serikali Mtandao pamoja na kuwa na matumizi ya TEHAMA yenye tija.Bofya hapa kujua zaidi