emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO/IEC 27001:2022 | ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mahakama ya Tanzania imejipanga kuanza rasmi matumizi ya Ofisi Mtandao (e-Office) kwa lengo la kurahisisha utendaji kazi na kuhakikisha kuwa ndoto ya kuwa Mahakama Mtandao (e-Judiciary) inatimia. Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel Katika kikao chake cha kwanza na Menejimenti ya Mahakama kilichofanyika Agosti 23, 2021. Kikao hiki ni cha kwanza na Menejimenti baada ya kuteuliwa na kuapishwa na Rais...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Mohamed Mchengerwa amezindua mfumo wa kielekroni unaoitwa "Sema na Waziri” Mfumo huu ni maalumu kwa ajili ya kumuwezesha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kupokea malalamiko, mapendekezo, pongezi au maulizo ya watumishi na wananchi mahali popote na kwa wakati wowote. Akizindua mfumo huo Juni 28, 2021 katika ukumbi wa mik...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na utawala Bora Mhe. Mohamed O. Mchengerwa (mb) amezitaka taasisi za umma kuhakikisha kuwa watumishi wa umma walioajiriwa na kuaminiwa na Serikali wanasimamia utekelezaji wa Serikali Mtandao kwa kuzingatia Sheria na Kanuni za Serikali Mtandao zilizopo ili Serikali ipate tija na ufanisi unaotarajiwa ikiwemo kuongeza usalama wa mifumo na taarifa zilizomo.Hayo aliyasema leo wakati wa ziar...

Soma Zaidi

Naibu waziri, ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius John Ndejembi amesema wakati umefika kwa serikali kuwa na mfumo wa pamoja utakaojumuisha huduma zote badala ya kila taasisi ya umma kuwa na mfumo wake ndani ya serikali moja.Wito huo ameutoa Desemba 31, 2020 wakati alipotembelea Ofisi za Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) zilizopo mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma kwa lengo la kujitambulisha na kufahamu...

Soma Zaidi

Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba ameziagiza Mamlaka za Maji nchini kufanya kazi kwa kushirikianana Wizara, Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Wadau wengine wanaotumia mfumo wa pamoja wa Ankara za Maji nchini ili kuongeza ufanisi, mapato na kuzuia mianya ya rushwa katika utendaji kazi.Agizo hilo limetolewa mjini Morogoro wakati wa ufungaji wa mafunzo ya siku 10 ya kuwajengea uwezo wa namna ya kutumia mfumo huo wa p...

Soma Zaidi
Mpangilio