Tumieni Mfumo wa Pamoja Kutoa Ankara za Maji- Mhandisi Fumbe

Mamlaka za Maji nchini zimetakiwa kutumia mfumo mpya wa pamoja wa utoaji Ankara za Maji (Maji intergrated and unified Billing System) ili kurahisisha uendeshaji, usimamizi na kuongeza mapato ya Mamlaka za Maji.Hayo, yamesemwa na Mhandisi, Jeremia Fumbe kutoka Wizara ya Maji Idara ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji, wakati wa mafunzo ya namna ya kuutumia mfumo huo kwa Maafisa mbalimbali kutoka Mamlaka...







