Mfumo wa Ngao kuimarisha zaidi Usalama wa Mifumo ya TEHAMA Serikali

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetengeneza Mfumo wa Usalama wa Kidigitali wa Uthibitishaji wa vipengele vingi ujulikanao kama NGAO, utakaotumika kuhakikisha usalama wa ziada wa taarifa muhimu kwa watumiaji wa mifumo ya Serikali. Mkurugenzi wa Udhibiti na Usalama wa TEHAMA Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Bw. Sylvani Shayo amesema, mfumo wa NGAO unalenga kuhakikisha watumiaji wanaweza kufikia mifumo ya Serikali kwa njia salama zaidi, ku...