MATUMIZI YA MFUMO WA E-MREJESHO NI TAKWA LA KISHERIA: UTUMISHI

Taasisi zote za Umma zatakiwa kujiunga na kutumia mfumo wa e-Mrejesho ili kuweza kutatua changamto mbalimbali zinazowakabili wananchi.Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Xavier Daudi wakati akifunga kikao kazi cha mafunzo ya mfumo wa e-Mrejesho yaliyofanyika katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Oktoba4, 2024."Kabla ya mwezi huu Oktoba kuisha taasisi zote za Umma ambazo bado hazija...