emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Takriban wadau 1000 wa serikali mtandao wanatarajiwa kukutana kwa siku tatu, kuanzia Februari 11 hadi 13, 2025 jijini Arusha, ili kujadiliana kuhusu hali ya utekelezaji wa Serikali Mtandao nchini, kuainisha changamoto, sambamba na kuweka mikakati ya pamoja ya kukabiliana na changamoto hizo. Wadau hao kutoka katika taasisi na mashirika mbalimbali ya umma, wanatarajiwa kukutana katika Mkutano (5) wa mwaka wa Serikali Mtandao, utakaofanyika katik...

Soma Zaidi

Kamati Baraza la Wawakilishi ya Kuchunguza na Kudhibiti Hesabu za Serikali na Mashirika ya Umma (PAC), imeiopongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kwa kutumia wataalamu wa ndani katika ujenzi na usanifu wa mifumo ya TEHAMA Serikalini. Pongezi hizo zimetolewa hii leo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mh.Juma Ali Khatib, baada ya kupokea wasilisho kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa e-GA Mhandisi Benedict Ndomba, kuhusu utekelezaji wa majukumu ya e-GA...

Soma Zaidi

Ufanisi wa Serikali Mtandao hutegemea usimamizi mzuri wa rasilimali, ushirikiano wa wadau, na utekelezaji wa mikakati madhubuti ili kuiwezesha Serikali kutoa huduma bora, kupunguza urasimu, na kuongeza uwazi, na hatimaye kuboresha maisha ya wananchi.Katika kuhakikisha usimamizi thabiti wa Serikali Mtandao nchini, Kifungu cha 15 cha Sheria ya Serikali Mtandao Namba 10 Sura ya 273 ya Mwaka 2019 (Sheria), kinaelekeza juu ya uanzishwaji wa muundo na...

Soma Zaidi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene (Mb), leo Desemba 03, 2024 ametembelea na kukagua ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Ofisi za Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), lilolopo katika mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma. Mhe.Simbachawene amemtaka mkandarasi Suma JKT na msimamizi wa ujenzi huo ambaye ni Wakala wa Majengo Nchini (TBA), kuongeza kasi ili kukamilisha jengo hilo mape...

Soma Zaidi

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), amesema kuwa matumizi ya Mfumo wa Kielektroniki wa Baraza la Mawaziri (e-Cabinet), unalenga kurahisisha utendaji kazi wa baraza hilo sambamba na kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi. Mhe. Majaliwa amesema hayo Novemba 11 mwaka huu, wakati akifunga Mkutano wa Kazi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri, kuhusu matumizi ya mfumo wa e-CABINET, uliofanyika katika ukumbi...

Soma Zaidi
Mpangilio