emblem
Mamlaka ya Serikali Mtandao
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Wakuu wa Vitengo vya TEHAMA Serikalini, wametakiwa kuzifanyia kazi hoja mbalimbali zinazoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu mifumo ya TEHAMA ili kuhakiksha hoja hizo hazijirudii. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba, wakati wa mafunzo ya siku tatu ya Wakuu wa Vitengo vya TEHAMA kutoka ofisi za Makatibu Tawala Mikoa ya Tanzania Bara na...

Soma Zaidi

MATUMIZI ya nishati safi ya gesi ya kupikia yanazidi kuimarika siku hadi siku. Kuongezeka kwa matumizi haya, kumekiibua Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (e-Government Research, Innovation and Development Centre - eGOVRIDC), kufanya ubunifu kwa kutengeneza mfumo wa ufuatiliaji wa gesi kidijitali. Mfumo huu ujulikanao kama ‘Gas Monitoring System’, ambao kwa sasa upo katika hatua za majaribio, un...

Soma Zaidi

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Mhe. Athumani Kilundumya, ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kuimarisha ushirikiano na sekta ya kilimo katika kuleta mapinduzi ya kidijitali katika sekta hiyo. Mhe. Kilundumya ameyasema hayo leo wakati alipotembelea banda la e-GA katika maonesho ya Kilimo na Wafugaji “Nanenane” yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Alibainisha kuwa, Wizara ya Kilimo ime...

Soma Zaidi

Programu ya Mafunzo kwa Vitendo inayoratibiwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kupitia Kituo chake cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao kwa mwaka 2025 imezinduliwa rasmi  jijini Dodoma. Programu hiyo ya wiki 10  hutolewa kwa wanafunzi wa Vyuo Vikuu wanaosomea fani ya TEHAMA, ambapo jumla ya wanafunzi  57 wanaosoma fani hiyo kutoka katika Vyuo 13 vya ndani pamoja na chuo kimoja kutoka nje ya nchi, wanas...

Soma Zaidi
Mpangilio