HOJA ZA TEHAMA RIPOTI YA CAG ZIFANYIWE KAZI: ENG. NDOMBA

Wakuu wa Vitengo vya TEHAMA Serikalini, wametakiwa kuzifanyia kazi hoja mbalimbali zinazoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu mifumo ya TEHAMA ili kuhakiksha hoja hizo hazijirudii. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba, wakati wa mafunzo ya siku tatu ya Wakuu wa Vitengo vya TEHAMA kutoka ofisi za Makatibu Tawala Mikoa ya Tanzania Bara na...







