TAASISI VINARA UTEKELEZAJI WA SERIKALI MTANDAO ZAPEWA TUZO

MAMLAKA ya Serikali Mtandao (e-GA), imetoa tuzo mbalimbali kwa Taasisi za Umma zilizofanya vizuri katika utekelezaji wa jitihada za Serikali Mtandao kwa mwaka wa fedha 2023/2024, ikiwa ni miongoni mwa mikakati ya kuchochea matumizi ya TEHAMA Serikalini. Tuzo hizo zilitolewa Februari 13 mwaka huu na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene (Mb), wakati akifunga Kikao kazi cha 5 cha...