WACHAMBUZI WA MIFUMO YA TEHAMA WAJENGEWA UWEZO

Mamlaka ya Serikali Mtandao(e-GA), imeandaa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo Wachambuzi wa Mifumo ya TEHAMA wa taasisi mbalimbali za umma. Mafunzo hayo ya siku 5 yanatolewa na kampuni ya kimataifa ya Koenig Solutions, yanalenga kuwajengea uwezo maafisa hao katika sekta ya ujenzi na uchambuzi wa mifumo ya TEHAMA katika taasisi zao. Katika mafunzo hayo yanayoendelea Kibaha mkoani Pwani, pia yameshirikisha maafisa kutoka baadhi ya Taasisi za...