emblem

Blogu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao

Uadilifu na Ubunifu kwa Utoaji Huduma Bora kwa Umma

Bunge Mtandao wasaidia Bunge kipindi cha Covid-19

10th Jul 2020

Mfumo wa Bunge mtandao umesaidia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniawakati wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu (Covid-19) kwa kuepuka kusambaa kwa virusi vya CORONA kwa wabunge na watumishi wa Bunge.