emblem

Blogu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao

Uadilifu na Ubunifu kwa Utoaji Huduma Bora kwa Umma

e-Walllet sasa Serikalini *152*00# - DUWASA

05th Jun 2020

Taasisi inaweza kutumia mGov kutuma SMS kwa wadau wake (PUSH SMS), inamwezesha mwananchi kupata huduma mbalimbali kama vile kuulizia bili ya maji (PULL SMS) na pia mGov inatoa huduma ya e-wallet inayomwezesha mwananchi kulipia huduma mbalimbali za kiserikali kupitia wallet akaunti ya mtandao wake wa simu.