emblem

Blogu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao

Uadilifu na Ubunifu kwa Utoaji Huduma Bora kwa Umma

Ijue Sheria ya Serikali Mtandao

23rd Jul 2020

Lengo la Sheria ya Serikali Mtandao ni kuhakikisha kwamba Serikali inapata thamani halisi kwenye uwekezaji wa TEHAMA kwa kuwa na utendaji kazi Serikalini ulioboreshwa, utoaji huduma bora kwa umma zinazopatikana kwa urahisi, haraka na kwa gharama nafuu mahali popote na kwa wakati wowote bila kufika ofisi husika.