emblem

Blogu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao

Uadilifu na Ubunifu kwa Utoaji Huduma Bora kwa Umma

Matumizi ya Mfumo wa ERMS-Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania

22nd May 2020

"Mfumo huu wa ERMS unatumika kusimamia shughuli za ndani za taasisi kwa kutumia moduli 20 zinazowasiliana na kuunganisha shughuli za Idara na Vitengo", Dkt. Bakari