emblem

Mamlaka ya Serikali Mtandao

Uadilifu na Ubunifu kwa Utoaji Huduma Bora kwa Umma
TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

Katibu Mkuu OR-MUU Akifunga Kikao Kazi cha Watumishi wa eGA


Katibu Mkuu OR-MUU Akifunga Kikao Kazi cha Watumishi wa eGA


Katibu Mkuu ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D.  Yambesi, amewataka watumishi wa eGA kufuata kanuni za maadili ya utumishi wa umma na kuwa na mwenendo mzuri ili kuweza kutoa huduma bora kwa wananchi.

Alisema hayo alipokuwa akifunga kikao kazi cha watumishi wa   Wakala ya Serikali  Mtandao kilichofanyika katika Hotel ya Oceanic Bay Resort mjini Bagamoyo Novemba 16,2014.